Notifications

View All

MJI WA MWANZA

by bozkathi oberlin, 18 July 2016, 04:37 AM

Mji wa Mwanza ni kati ya miji ya kuvutia Tanzania, unajulikana sana kama mji wa miamba "Rocky City". Hali ya hewa yake ni nzuri na ya kuvutia sana. Miji umetulia ukilinganisha na jiji la dar es salaam. Tangu nimekuja Mwanza nimeupenda sana mji wa Mwanza.

Photo of bozkathi oberlin

bozkathi oberlin

About Me

A brilliant young entrepreneur with constant source of new business ideas and energy.